Komkyaa Nexus

Komkyaa Nexus: Where Ideas Unite, Perspectives Converge. Explore the Hub of Creativity and Connection.

Latest Posts

WAKUSANYAJI WA MAPATO NENDENI TARATIBU ACHENI UBABE

Mkuu wa Mkoa wa kilimanjaro Nurdin Babu amewataka wakusanyaji wa mapato katika Halmashsuri za Wilaya na Manispaa ya Moshi mkoani humo kukusanya kwa nidhamu na kuacha...

LEMA ALIA NA IDARA YA FORODHA.

Idara ya Forodha na Ushuru inasimamia ushuru wote kwenye biashara ya kimataifa. Kodi hizo ni pamoja na Ushuru wa Kuagiza, Ushuru wa Bidhaa na Kodi ya Ongezeko la Thamani...

MOSHI MJINI YAJIVUNIA MAFANIKIO YA SEKTA YA AFYA YAPOKEA AMBULANCE TANO.

Moshi.Katika kuboresha upatikanaji wa huduma za afya, Serikali imetoa magari maalumu ya kubebea wagonjwa (Ambulance) tano na kujenga vituo vitatu vya afya katika kipindi...

CCM Yamfukuza uanachama Dk Godfrey Malisa

Moshi.Chama cha mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, kimemfukuza uanachama kada wa chama hicho Mchungaji Godfrey Malisa kwa tuhuma za kukiuka katiba na maadili ya chama...

TAMASHA LA VIJANA NA UONGOZI HIMO LAFANA..

MAMIA YA VIJANA WAJITOKEZA SHIRIMA ATAKA KAZI ZA RAIS ZISEMWE BILA KIFICHO Na Gift MongiMoshi Ni hatua ya matumaini hivyo ndiyo ilivyojitokeza kwa vijana mbalimbali...

“WAGONJWA WANAHITAJI FARAJA KUTOKA KWA WAUGUZI” MHE. NDERIANANGA

Na Mwandishi- Kilimanjaro Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga amewataka Viongozi wa Kata na Wahudumu wa afya ngazi ya jamii...

MHE. NDERIANANGA AITAKA JAMII KUVUNJA UKIMYA VITENDO VYA UKATILI

Na Mwandishi wetu-KILIMANJARO Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga ameitaka jamii kupaza sauti kukemea vitendo...

Shirima: Vijana tusitengenezeane ajali za kisiasa, tushikamane kuitafutia CCM ushindi

Na Mwandishi Wetu. Moshi.Mwenyekiti wa jumuiya ya umoja wa Vijana wa Chama cha mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Moshi vijijini, mkoani Kilimanjaro, Yuvenal Shirima ...

Umoja wa Vijana Jipangeni vizuri katika maeneo yenu kwa ajili ya Uchaguzi

Na Mwandishi wetu. Moshi.Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, kimeutaka umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM) mkoani humo, kujipanga vizuri katika maeneo yao...